Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, amezindua na kumkabidhi nyumba mlemavu wa macho
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, amezindua na kumkabidhi nyumba mlemavu wa macho
Huu ni msimu wa nane wa mbio hizo ambazo hulenga kusaidia miundombinu ya elimu na afya kwa jamii na tayari maandalizi yameanza, huku wanamichezo wakiombwa kushiriki mbio hizo.
Huu ni msimu wa nane wa mbio hizo ambazo hulenga kusaidia miundombinu ya elimu na afya kwa jamii na tayari maandalizi yameanza, huku wanamichezo wakiombwa kushiriki mbio hizo.
Ninaachoomba wakazi wa Mbeya tumuunge mkono Dkt.Tulia kwa sababu lengo lake ni nzuri ambalo ni kuimarisha miundombinu ya elimu na afya
Taasisi inawakaribisha Watanzania wote kwenye mashindano ya riadha yajulikanayo kama MBEYA TULIA MARATHON msimu wa Nane mashindano yatafanyika mnamo tarehe 10-11/05/2024
Tulia Trust tunatoa pongezi nyingi sana kwa Aliyekuwa Mshindi wa Kwanza kwenye Mashindano ya Kusaka Vipaji yaliyo anzishwa na Rais wa
Msaada huo umetolewa kupitia programu ya Tulia Trust Mtaani Kwetu kwa lengo la kurejesha tabasamu kwa kaya zisizojiweza na zinazois
Tulia Trust tunaendelea na Ujenzi wa Nyumba Mbili za Wahitaji ambao Wanaishi Kwenye Mazingira hatarishi Wilayani Rungwe.
Taasisi ya Tulia Trust imekabidhi mahitaji ya chakula kwa wahitaji Wilayani Rungwe kwaajili ya Sikukuu ya Krismasi.
Taasisi ya Tulia Trust imekabidhi kiti mwendo kwa mtoto Ester Seme (7) mkazi wa kijiji cha Ilolo Wilaya ya Rungwe Mkoa wa Mbeya alipata ulemavu
Give us a call or drop by anytime, we endeavour to answer all enquiries within 24 hours on business days. DONATE BY BANK: TULIA TRUST 0150226766000 CRDB