TULIA TRUST YAENDELEA NA UJENZI WILAYANI RUNGWE
![](https://tuliatrust.org/wp-content/uploads/2023/12/IMG-20231225-WA0023-1024x682.jpg)
Tulia Trust tunaendelea na Ujenzi wa Nyumba Mbili za Wahitaji ambao Wanaishi Kwenye Mazingira hatarishi Wilayani Rungwe.
Nyumba zinazojengwa ni Kwaajili ya Neva Kasulu Mkazi wa Kata ya kimo kijiji cha kibisi na Ndugu Ambele Fredy wa Kata ya Kisondela Wilayani Rungwe.
Ujenzi huo unafanyika Kupitia Programu ya kukimbiza Bendera ya Upendo iliyo kimbizwa wilayani humo siku kadhaa zilizopita na kuhimiza jamii kuishi kwa Upendo,Mshikamano na Uwajibikaji,nyumba hizo zinasimamiwa kupitia programu ya Tulia Trust Mtaani Kwetu ambapo Taasisi ya Tulia Trust inatarajia Kukabidhi Nyumba hizo kwa wahusika Tarehe 30/12/2023.
Recent Posts
WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO…
May 22, 2024Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2024 ameshiriki katika tukio la mbio za Mbeya Tulia Marathoni 2024[…]DKT. TULIA ATOA MSAADA KW…
April 22, 2024Dkt.Tulia Ackson amekabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali kwa waathirika ambao nyumba zao zilifunikwa na maporomoko ya tope katika Mlimani Kawetele Kata ya Itezi jijini hapa na kusababisha kukosa makazi ya kuishi.[…]SPIKA DKT. TULIA AMJENGEA…
April 11, 2024Akiongea huku akibubujikwa machozi Singwava Jackson amemshukuru Dkt Tulia kwa kuisitiri familia yake kwani alikuwa akiishi kwenye turubai kwa hofu hasa mvua zilipokuwa zikinyesha na pia hakuwa na mtaji.[…]MNEC MWASELELA: MBEYA TUM…
April 11, 2024Mwaselela amesema hayo Aprili 8, mwaka huu wakati akitoa salamu kwenye Iftar iliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust chini ya Mkurugenzi wake mbaye ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge Dkt.Tulia Ackson jijini hapa.[…]VIONGOZI MBEYA WASEMA DKT…
April 11, 2024Sheikh Njalambaha amesema usiku wa jana Aprili 8 mwaka huu wakati wa waumini wa dini ya kiislam, viongozi wa Chama, Serikali na Machifu mkoani hapa walipoungana kula aftari iliyoandaliwa, Dkt. Tulia Ackson kupitia Taasisi yake ya Tulia Trust.[…]