Makabidhiano hayo yamefanyika Februari 23, 2024 huku mamia ya wananchi wamejitokeza kushuhudia huku wengine wakimuombea Dk Tulia Mungu ampe maisha marefu kwa kitendo cha kijitoa kusaidia wahitaji.
Dkt. Tulia amemkabidhi Hosea nyumba hiyo yenye vyumba viwili vya kulala, sebule pamoja na choo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoitoa siku kadhaa mara baada ya kuombwa hitaji hilo.
“Sitaishia hapa, hata nikifikia hatua ya kuachana na masuala ya kisiasa sitaacha kusaidia watanzania na sio kwamba sasa naacha siasa hapaka ukifika wakati” amefafanua.
“Tutamlinda tunavyojua sisi hatadhurika kwani amekuaa mstari wa mbele kuleta Maendeleo ya wanambeya na kwamba Mbeya imetulia na Dkt. Tulia Ackson” amesema.
Wakati huo huo ameomba mtaji kwa ajili ya kuuza banda la vinywaji baridi katika eneo la Kabwe na mradi wa pikipiki ya matairi matatu (Bajaj) ambayo ameona ni ndoto yake itakayomuinua kiuchumi.
https://mbeyapresstv.blogspot.com/2024/02/dkt-tulia-akabidhi-nyumba-kwa-mlemavu.html
Recent Posts
- 1win Официальный Сайт Бук…May 8, 20241win Официальный Сайт Букмекерской Конторы 2023 Онлайн Ставки и Спорт, Вход а Бк 1вин одним […]
- Online Casino India Offic…May 7, 2024Online Casino India Official Website Associated With Pin-up Casino Pin Up Review For Wagering In […]
- Бесплатные Игровые Автома…May 7, 2024Бесплатные Игровые Автоматы Без Регистрации И Смс Онлайн Для Украинцев: Демо Слоты Игровые Автоматы […]
- “ставки На Спорт Он…May 6, 2024“ставки На Спорт Онлайн Букмекерская Контора Pin-up В Казахстане Пин Ап Казино В Казахстане […]
- “mostbet Oyun Hesab…May 6, 2024“mostbet Oyun Hesabınıza Login Yapmanın Yolları Türkiye Resmi Web Sitesi Content Android’de […]