![](https://tuliatrust.org/wp-content/uploads/2024/02/hoseA-1024x646.png)
Makabidhiano hayo yamefanyika Februari 23, 2024 huku mamia ya wananchi wamejitokeza kushuhudia huku wengine wakimuombea Dk Tulia Mungu ampe maisha marefu kwa kitendo cha kijitoa kusaidia wahitaji.
Dkt. Tulia amemkabidhi Hosea nyumba hiyo yenye vyumba viwili vya kulala, sebule pamoja na choo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoitoa siku kadhaa mara baada ya kuombwa hitaji hilo.
“Sitaishia hapa, hata nikifikia hatua ya kuachana na masuala ya kisiasa sitaacha kusaidia watanzania na sio kwamba sasa naacha siasa hapaka ukifika wakati” amefafanua.
“Tutamlinda tunavyojua sisi hatadhurika kwani amekuaa mstari wa mbele kuleta Maendeleo ya wanambeya na kwamba Mbeya imetulia na Dkt. Tulia Ackson” amesema.
Wakati huo huo ameomba mtaji kwa ajili ya kuuza banda la vinywaji baridi katika eneo la Kabwe na mradi wa pikipiki ya matairi matatu (Bajaj) ambayo ameona ni ndoto yake itakayomuinua kiuchumi.
https://mbeyapresstv.blogspot.com/2024/02/dkt-tulia-akabidhi-nyumba-kwa-mlemavu.html
Recent Posts
WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO…
May 22, 2024Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2024 ameshiriki katika tukio la mbio za Mbeya Tulia Marathoni 2024[…]DKT. TULIA ATOA MSAADA KW…
April 22, 2024Dkt.Tulia Ackson amekabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali kwa waathirika ambao nyumba zao zilifunikwa na maporomoko ya tope katika Mlimani Kawetele Kata ya Itezi jijini hapa na kusababisha kukosa makazi ya kuishi.[…]SPIKA DKT. TULIA AMJENGEA…
April 11, 2024Akiongea huku akibubujikwa machozi Singwava Jackson amemshukuru Dkt Tulia kwa kuisitiri familia yake kwani alikuwa akiishi kwenye turubai kwa hofu hasa mvua zilipokuwa zikinyesha na pia hakuwa na mtaji.[…]MNEC MWASELELA: MBEYA TUM…
April 11, 2024Mwaselela amesema hayo Aprili 8, mwaka huu wakati akitoa salamu kwenye Iftar iliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust chini ya Mkurugenzi wake mbaye ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge Dkt.Tulia Ackson jijini hapa.[…]VIONGOZI MBEYA WASEMA DKT…
April 11, 2024Sheikh Njalambaha amesema usiku wa jana Aprili 8 mwaka huu wakati wa waumini wa dini ya kiislam, viongozi wa Chama, Serikali na Machifu mkoani hapa walipoungana kula aftari iliyoandaliwa, Dkt. Tulia Ackson kupitia Taasisi yake ya Tulia Trust.[…]