WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA MBEYA TULIA MARATHON 2024
![](https://tuliatrust.org/wp-content/uploads/2024/05/IMG_7375-1024x683.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2024 ameshiriki katika tukio la mbio za Mbeya Tulia Marathoni 2024 zilizoandaliwa na Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Tulia Trust. Mbio hizo zilianzia na kuishia kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Mei 11, 2024.
Baadhi ya viongozi walioshiriki mbio hizo ni Mke wa Waziri Mkuu Mary Majaliwa, Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya Mjini Dkt. Tulia Ackson, Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma, Wakuu wa Mikoa ya Njombe na Mbeya, Wabunge na Viongozi wa Vyama vya Siasa.
Recent Posts
- Holíme Česká Casina Za Po…May 25, 2024Holíme Česká Casina Za Pomocí Bonusů Free Spiny Dnes Casina A Cluby Bonver Список Zahrajte Si […]
- Онлайн Казино В России 20…May 23, 2024Онлайн Казино В России 2024: Список Лучших наших Интернет-казино На Сайте Casino Zeus Депутат […]
- Ukrainian Brides: Solitar…May 22, 2024Articles Latin Mailbox Order Birdes-to-be — Can You Discover A Night out Online? Ukrainian Brides: […]
Vulkan Vegas Bonus Co… May 20, 2024Vulkan Vegas Bonus Code 2024 ️ Model Added Bonus & 150 FreispielDie Gruppe der Automaten, die […]Vulkan Todas Las Vega… May 20, 2024Vulkan Todas Las Vegas Bonus 2024: Bonus Von A Thousand & 125 FreispielDas Willkommenspaket […]