TULIA TRUST YAWAPA TABASAMU WANA-ITEZI
Taasisi ya Tulia Trust imetoa Msaada wa Viti Mwendo Vinne (4) kwa Watu Wenye Uhitaji Maalumu (Watu wenye Ulemavu) kata ya Itezi Jijini Mbeya.
Zoezi hilo la kukabidhi viti mwendo limefanyika katika Uwanja wa Gombe likiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe.Mubarak Alhaji Batenga akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Mhe. Beno Malisa.
Katika zoezi hilo Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Mkurugenzi Wake ambaye ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Dkt. Tulia Ackson pia imekabidhi Daftari kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wanye uhitaji Kutoka mitaa minne ya Kata hiyo ya Itezi.
Recent Posts
- 1win Официальный Сайт Бук…May 8, 20241win Официальный Сайт Букмекерской Конторы 2023 Онлайн Ставки и Спорт, Вход а Бк 1вин одним […]
- Online Casino India Offic…May 7, 2024Online Casino India Official Website Associated With Pin-up Casino Pin Up Review For Wagering In […]
- Бесплатные Игровые Автома…May 7, 2024Бесплатные Игровые Автоматы Без Регистрации И Смс Онлайн Для Украинцев: Демо Слоты Игровые Автоматы […]
- “ставки На Спорт Он…May 6, 2024“ставки На Спорт Онлайн Букмекерская Контора Pin-up В Казахстане Пин Ап Казино В Казахстане […]
- “mostbet Oyun Hesab…May 6, 2024“mostbet Oyun Hesabınıza Login Yapmanın Yolları Türkiye Resmi Web Sitesi Content Android’de […]