ATIKA kuhakikisha kuwa mazingira ya miundombinu ya shule za msingi na Sekondari Jijini Mbeya yanaendelea kuimarishwa na kuwa na ubora Taasisi ya Tulia Trust imekabidhi msaada wa mifuko mifuko 400 ya Saruji kwa shule za msingi na Sekondari Jijini hapa.
Taasisi ya Tulia Trust imetoa mifuko mia nne kwa shule tatu za msingi na sekondari Jijini Mbeya kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya madarasa katika shule hizo.
Mjane Sigwava Jackson (60) amemshukuru Mbunge wa Mbeya mjini, Spika wa Bunge na Rais wa Mabunge Duniani (IPU) Dkt. Tulia kwa kumtupia jicho na kumjengea makazi bora.
MKUU wa wilaya ya Chunya ambaye ni Kaimu mkuu wa wilaya ya Mbeya,Mrakibu Mwandamizi wa jeshi la uhamiaji,Alhaji Mubarak Batenga amewataka wazazi na walezi waliopatiwa msaada wa vitimwendo kwa ajili ya watoto wenye ulemavu kuvitumia kuwapeleka shule badala ya kuendelea kukaa nao ndani ili elimu wanayopata iwe na manufaa katika maisha yako ya badae.
WANAFUNZI wanaoishi katika mazingira hatarishi Jijini Mbeya wamepatiwa msaada wa madaftari na Taasisi ya Tulia Trust ikiwa ni mwendelezo wa kusaidia jamii kwa kata 36 zilizopo Jijini hapa.
Taasisi ya Tulia Trust imeanza programu maalum ugawaji wa baiskeli za viti mwendo kwa walemavu sambamba na kuwaingiza kwenye mpango wa kuwezesha kiuchumi.
Taasisi ya Tulia Trust leo imefanya matukio mawili likiwepo la kukabidhiwa madaftari kwa watoto wenye mahitaji maalum 3,000 katika shule la za msingi kata 36 jijini hapa.
Diwani wa kata ya majengo jijini Mbeya ,Maulid Jamadary amemshukuru Dr Tulia Ackson mbunge wa Mbeya mjini na Spika wa bunge la JMT kwa msaada wa kiti mwendo (wheelchair ) na Bima ya afya kwa Elizabeth Mbewe ambaye ni mkazi wa kata ya Majengo.
Mtoto mwenye ulemavu wa miguu Doreen Myuki (12)Mwanafunzi wa darasa la Saba Shule ya Msingi Mwasote kata ya Itezi Jijini Mbeya ameshindwa kujizuia kwa kumwaga machozi kwa kueleza machungu aliyopotia kipindi chote cha kusaka elimu kutokana na ulemavu aliokuwa nao.
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Let's get in touch
Give us a call or drop by anytime, we endeavour to answer all enquiries within 24 hours on business days.
DONATE BY BANK: TULIA TRUST 0150226766000 CRDB
Give us a call or fill in the form below and we'll contact you. We endeavor to answer all inquiries within 24 hours on business days.
DONATE BY BANK:
Account Name: TULIA TRUST
Account Number: 0150226766000
Bank Name: CRDB