Mwaselela amesema hayo Aprili 8, mwaka huu wakati akitoa salamu kwenye Iftar iliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust chini ya Mkurugenzi wake mbaye ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge Dkt.Tulia Ackson jijini hapa.
Sheikh Njalambaha amesema usiku wa jana Aprili 8 mwaka huu wakati wa waumini wa dini ya kiislam, viongozi wa Chama, Serikali na Machifu mkoani hapa walipoungana kula aftari iliyoandaliwa, Dkt. Tulia Ackson kupitia Taasisi yake ya Tulia Trust.
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ametoa ahadi ya kumpatia matibabu ya mguu Mzee mwenye mahitaji Mbaliki Shikunzi(80).
SHEKHE wa Mkoa wa Mbeya,Msafiri Njalambaha amesema kitendo kinachofanywa na Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini na Spika wa Bunge ,Dkt.Tulia Ackson mbali na masuala ya kisiasa ni ibada kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwani amekuwa akijitolea kusaidia watu wenye uhitaji.
Taasisi ya Tulia Trust imetoka kilo 400 za mchele na tende boksi 20 katika Msikiti Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya waumini wenye mahitaji katika kuelekea sikuu ya Eid El Fitri.
WAUMINI wa dini ya Kiislamu wamemuombea dua ya kheri Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge ambaye pia Rais Umoja wa Mabunge Duniani ,Dkt.Tulia Ackson ili aweze kutekeleza majukumu yake vizuri katika kuhudumia jamii.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya Dkt Tulia Ackson Afisa Habari wa Taasisi hiyo Joshua Mwakanolo amesema lengo ni kutekeleza ombi la Msikiti huo kwa Mbunge ambapo waliomba vipaza sauti kwa ajili ya ibada.
MJUMBE wa Baraza kuu la UVCCM Taifa kutoka mkoa wa Mbeya ,Timida Fyandomo amempongeza Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Dkt.Tulia Ackson kutokana na kutambua jitihada kubwa anazofanya za kusaidia jamii na watu wenye uhitaji.
Timida Mpoki Fyandomo Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana Taifa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Mkoa wa Mbeya ameahidi kutoa godoro kwa mjane Singwava Mwanyanje mwenye watoto sita mkazi wa Itanji Kata ya Iganjo Jijini Mbeya anayejengewa nyumba na Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini.
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]
Let's get in touch
Give us a call or drop by anytime, we endeavour to answer all enquiries within 24 hours on business days.
DONATE BY BANK: TULIA TRUST 0150226766000 CRDB
Give us a call or fill in the form below and we'll contact you. We endeavor to answer all inquiries within 24 hours on business days.
DONATE BY BANK:
Account Name: TULIA TRUST
Account Number: 0150226766000
Bank Name: CRDB