MBEYA TULIA MARATHON YAANZA KUTIMUA VUMBI

Mashindano ya Riadha ya Betika Mbeya Tulia Marathon 2025 yameanza leo Kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya Mjini ikiwa ni Msimu wa Tisa (9) Mashindano hayo yanafanyika.

Pichani ni baadhi ya Washiriki wa Mashindano hayo ambayo leo yanafanyika kwa mbio za ndani ya uwanja (Mbio Fupi) ambazo ni Mita100, 200, 400, 800, 1500 na Long Jump (Karuka Chini).

Kesho Mashindano haya yataendelea kwa mbio ndefu ambazo ni kilomita 42, 21, 10 na 5.

Soma Zaidi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

DONATE

Give us a call or fill in the form below and we'll contact you. We endeavor to answer all inquiries within 24 hours on business days. DONATE BY BANK: Account Name: TULIA TRUST Account Number: 0150226766000 Bank Name: CRDB