NYOTA YA PILTON MUSA YAZIDI KUNG’ARA

Tulia Trust tunatoa pongezi nyingi sana kwa Aliyekuwa Mshindi wa Kwanza kwenye Mashindano ya Kusaka Vipaji yaliyo anzishwa na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani ambae ni Spika wa Bunge ambae ni Mbunge Jimbo la Mbeya Mjini Mh.Dkt.Tulia Ackson yajulikanayo kama Tulia Stree Talent Competition 2023 Kipengele cha Uchekeshaji Wima (Comedy) Pilton Musa Nyota yake imeendelea Kung’ara baada ya kuibuka Mshindi kwenye CHEKA TU Comedy Search Mbeya iliyofanyika 25 Januari 2023.
Taasisi ya Tulia Trust inatoa shukrani za dhati kwa mdau wa sanaa ya uchekeshaji wima Coy Mzungu.
Recent Posts
DKT. TULIA AHAMASISHA MAM…
May 30, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]DKT.TULIA AMEREJESHA FURA…
May 30, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]BENJA FC WABABE WA TULIA …
May 30, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]DKT. TULIA ASISITIZA MATU…
May 30, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]WANAFUNZI WAMTAJA DKT. TU…
August 21, 2024Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]