TULIA TRUST YAENDELEA NA UJENZI WILAYANI RUNGWE

Tulia Trust tunaendelea na Ujenzi wa Nyumba Mbili za Wahitaji ambao Wanaishi Kwenye Mazingira hatarishi Wilayani Rungwe.
Nyumba zinazojengwa ni Kwaajili ya Neva Kasulu Mkazi wa Kata ya kimo kijiji cha kibisi na Ndugu Ambele Fredy wa Kata ya Kisondela Wilayani Rungwe.
Ujenzi huo unafanyika Kupitia Programu ya kukimbiza Bendera ya Upendo iliyo kimbizwa wilayani humo siku kadhaa zilizopita na kuhimiza jamii kuishi kwa Upendo,Mshikamano na Uwajibikaji,nyumba hizo zinasimamiwa kupitia programu ya Tulia Trust Mtaani Kwetu ambapo Taasisi ya Tulia Trust inatarajia Kukabidhi Nyumba hizo kwa wahusika Tarehe 30/12/2023.
Recent Posts
NYOTA YA PILTON MUSA YAZI…
July 18, 2025Tulia Trust tunatoa pongezi nyingi sana kwa Aliyekuwa Mshindi wa Kwanza kwenye Mashindano ya Kusaka Vipaji yaliyo anzishwa na Rais wa[…]WANANCHI UYOLE WAMCHUKULI…
July 18, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]DKT.TULIA ATANGAZA KUGOMB…
July 18, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]TULIA ASHINDWA KUIMBA WIM…
July 18, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]DK BITEKO: MARATHONI NI F…
July 18, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]