
Mashindano ya Riadha ya Betika Mbeya Tulia Marathon 2025 yameanza leo Kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya Mjini ikiwa ni Msimu wa Tisa (9) Mashindano hayo yanafanyika.
Pichani ni baadhi ya Washiriki wa Mashindano hayo ambayo leo yanafanyika kwa mbio za ndani ya uwanja (Mbio Fupi) ambazo ni Mita100, 200, 400, 800, 1500 na Long Jump (Karuka Chini).
Kesho Mashindano haya yataendelea kwa mbio ndefu ambazo ni kilomita 42, 21, 10 na 5.
Recent Posts
NYOTA YA PILTON MUSA YAZI…
July 18, 2025Tulia Trust tunatoa pongezi nyingi sana kwa Aliyekuwa Mshindi wa Kwanza kwenye Mashindano ya Kusaka Vipaji yaliyo anzishwa na Rais wa[…]WANANCHI UYOLE WAMCHUKULI…
July 18, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]DKT.TULIA ATANGAZA KUGOMB…
July 18, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]TULIA ASHINDWA KUIMBA WIM…
July 18, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]DK BITEKO: MARATHONI NI F…
July 18, 2025Watoto watano waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu waliopelekwa masomoni nchini Nigeria kwa ufadhili wa Taasisi ya Tulia Trust wamewasili nchini...[…]