<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Non Private Archives - Tulia Trust</title>
	<atom:link href="https://tuliatrust.org/tag/non-private/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>https://tuliatrust.org/tag/non-private/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Fri, 18 Jul 2025 08:06:05 +0000</lastBuildDate>
	<language>en-US</language>
	<sy:updatePeriod>
	hourly	</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>
	1	</sy:updateFrequency>
	<generator>https://wordpress.org/?v=6.9.1</generator>
	<item>
		<title>NYOTA YA PILTON MUSA YAZIDI KUNG&#8217;ARA</title>
		<link>https://tuliatrust.org/nyota-ya-pilton-musa-yazidi-kungara-2/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/nyota-ya-pilton-musa-yazidi-kungara-2/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Fri, 18 Jul 2025 08:05:39 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[Community Assistance]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8048</guid>

					<description><![CDATA[<p>Tulia Trust tunatoa pongezi nyingi sana kwa Aliyekuwa Mshindi wa Kwanza kwenye Mashindano ya Kusaka Vipaji yaliyo anzishwa na Rais wa</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/nyota-ya-pilton-musa-yazidi-kungara-2/">NYOTA YA PILTON MUSA YAZIDI KUNG&#8217;ARA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<blockquote><p>
Tulia Trust tunatoa pongezi nyingi sana kwa Aliyekuwa Mshindi wa Kwanza kwenye Mashindano ya Kusaka Vipaji yaliyo anzishwa na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani ambae ni Spika wa Bunge ambae ni Mbunge Jimbo la Mbeya Mjini Mh.Dkt.Tulia Ackson  yajulikanayo kama Tulia Stree Talent Competition 2023 Kipengele cha Uchekeshaji Wima (Comedy) Pilton Musa  Nyota yake imeendelea Kung&#8217;ara baada ya kuibuka Mshindi kwenye CHEKA TU Comedy Search Mbeya iliyofanyika 25 Januari 2023.</p>
<p>Taasisi ya Tulia Trust inatoa shukrani za dhati kwa mdau wa sanaa ya uchekeshaji wima Coy Mzungu.
</p></blockquote>
<div class="summary-text"></div>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/nyota-ya-pilton-musa-yazidi-kungara-2/">NYOTA YA PILTON MUSA YAZIDI KUNG&#8217;ARA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/nyota-ya-pilton-musa-yazidi-kungara-2/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
		<item>
		<title>DKT. TULIA ATOA MSAADA KWA WANANCHI WALIOKUMBWA NA MAPOROMOKO ITEZI</title>
		<link>https://tuliatrust.org/dkt-tulia-atoa-msaada-kwa-wananchi-waliokumbwa-na-maporomoko-itezi/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/dkt-tulia-atoa-msaada-kwa-wananchi-waliokumbwa-na-maporomoko-itezi/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Mon, 22 Apr 2024 10:44:22 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8171</guid>

					<description><![CDATA[<p>Dkt.Tulia Ackson amekabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali kwa waathirika ambao nyumba zao zilifunikwa na maporomoko ya tope katika Mlimani Kawetele Kata ya Itezi jijini hapa na kusababisha kukosa makazi ya kuishi.</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/dkt-tulia-atoa-msaada-kwa-wananchi-waliokumbwa-na-maporomoko-itezi/">DKT. TULIA ATOA MSAADA KWA WANANCHI WALIOKUMBWA NA MAPOROMOKO ITEZI</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<p>Na Esther Macha, Timesmajira Online, Mbeya</p>
<p>MBUNGE wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge ambaye ni Rais Umoja wa Mabunge Duniani,Dkt.Tulia Ackson amekabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali kwa waathirika ambao nyumba zao zilifunikwa na maporomoko ya tope katika Mlimani Kawetele Kata ya Itezi jijini hapa na kusababisha kukosa makazi ya kuishi.</p>
<p>Ambayo yaliotokea Aprili 14, 2024 na kusababisha nyumba 20 na shule kufunikwa na maporomoko ya tope huku wananchi wakikosa makazi ya kuishi ambao kwa sasa wamehifadhiwa katika shule ya msingi Tambulikareli ambayo imefungwa kwa muda wakati utaratibu mwingine wa kuwahifadhi wananchi hao na familia zao ukiendelea.</p>
<p>Msaada huo umekabidhiwa Aprili 16, 2024 na Katibu wa Mbunge Jimbo la Mbeya Mjini,Steven Chambanenge kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo hilo Dkt.Tulia .</p>
<p>Vitu vilivyokabidhiwa ni pamoja na kilo 200 za mchele,unga wa ugali kilo 500, maharage kilo 80,majiko 20 ya gesi ,sukari kilo 200,lita 50 za mafuta ya kupikia ili viweze kuwasaidia waathirika wa maporomoko hayo.</p>
<p>Dkt. Tulia ambae kwasasa yupo nchini Marekani kushiriki kikao cha kujadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi yanayoikumba Dunia na utatuzi wake, wakati wa mkutano wa mwaka 2024 wa Jukwaa la Kibunge la Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Mkutano huo ulioanza Aprili 15 ,2024 katika makao makuu ya Benki ya Dunia, Washington DC, nchini Marekani.</p>
<p>Diwani wa Kata ya Itezi Sambwee Shitambala ameshukuru kufuatia msaada huo uliotolewa na Mbunge huyo huku akiomba wadau wengine kujitokeza kusaidia wananchi waliopatwa na janga hilo na kusema uhitaji bado mkubwa.</p>
<p>Pia Shitambala amesema bado kuna changamoto ya vyoo kuwa vichache, uhaba wa maji na umeme huku akipongeza mwitikio wa wadau zikiwemo taasisi za serikali,binafsi na watu binafsi.</p>
<p>Mratibu wa maafa Mkoa wa Mbeya,Juma Maduhu amesema mahitaji ya sasa kwa waathirika hao ni zaidi ya tani saba za chakula ikiwemo mchele, unga na nafaka nyinginezo ambazo ni kwa ajili ya mboga.</p>
<p>Huku akieleza kuwa kama kitengo cha maafa walichukua hatua za awali ikiwa ni kutoa msaada wa vifaa mbalimbali ikiwemo mablangeti,magodoro na ndoo.</p>
<p>“Bado tunaendelea kuhamasisha wadau kujitokeza kusaidia wananchi hawa kwani bado uhitaji ni mkubwa,”amesema.</p>
<p><a href="https://timesmajira.co.tz/dkt-tulia-atoa-msaada-kwa-wananchi-waliokubwa-na-maporomoko-itezi/">soma zaidi</a></p>
<figure class="wp-block-gallery has-nested-images columns-default is-cropped wp-block-gallery-2 is-layout-flex wp-block-gallery-is-layout-flex"></figure>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/dkt-tulia-atoa-msaada-kwa-wananchi-waliokumbwa-na-maporomoko-itezi/">DKT. TULIA ATOA MSAADA KWA WANANCHI WALIOKUMBWA NA MAPOROMOKO ITEZI</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/dkt-tulia-atoa-msaada-kwa-wananchi-waliokumbwa-na-maporomoko-itezi/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
		<item>
		<title>SPIKA DKT. TULIA AMJENGEA NYUMBA MJANE AMKABIDHI</title>
		<link>https://tuliatrust.org/spika-dkt-tulia-amjengea-nyumba-mjane-amkabidhi/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/spika-dkt-tulia-amjengea-nyumba-mjane-amkabidhi/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Thu, 11 Apr 2024 10:24:27 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8163</guid>

					<description><![CDATA[<p>Akiongea huku akibubujikwa machozi Singwava Jackson amemshukuru Dkt Tulia kwa kuisitiri familia yake kwani alikuwa akiishi kwenye turubai kwa hofu hasa mvua zilipokuwa zikinyesha na pia hakuwa na mtaji.</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/spika-dkt-tulia-amjengea-nyumba-mjane-amkabidhi/">SPIKA DKT. TULIA AMJENGEA NYUMBA MJANE AMKABIDHI</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<p>Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini ambaye pia ni Mkurugenzi wa Tulia Trust Mhe. Dkt. Tulia Ackson amekabidhi nyumba Kwa Singwava Jackson mkazi wa mtaa wa ltanji Kata ya Iganjo Jijini Mbeya mjane mwenye watoto sita baada ya kuishi kwenye nyumba ya maturubai Kwa zaidi ya miaka minne.</p>
<p>Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi,Seikali,Viongozi wa Dini,viongozi wa Mila na wananchi ambapo Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Beno Malisa amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera.</p>
<p>Katika hotuba yake Dkt Tulia amewashukuru wananchi Kwa namba walivyoguswa kuungana na taasisi yake kuhakikisha mama hiyo anaishi vizuri yeye na familia yake.</p>
<p>Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya Patrick Mwalunenge amempongeza Dkt Tulia Kwa kuwagusa watu wenye uhitaji kwani hiyo ni sadaka mbele za Mungu.</p>
<p>Ametoa wito kwa wana CCM kuwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 mgombea Urais ni Dkt Samia Suluhu Hassan na Ubunge wa Mbeya mjini ni Dkt Tulia Ackson kwani kazi walizozifanya zinaonekana kwa macho.</p>
<p>Mwalunenge amechangia shilingi laki tano ili ziweze kumsaidia mjane huyo na familia yake pamoja na mahitaji ya shule kwa watoto.</p>
<p>Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa(NEC)Ndele Mwaselela amesema yeyote anayetaka kugombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini aanze kutoa misaada sasa na ajipime kama anatosha nafasi hiyo.</p>
<p>“Mimi siyo mnafiki na siogopi kusema ukweli na kwamba tutaimarisha ulinzi Kwa Dkt Tulia”alisema Mwaselela.</p>
<p>Hata hivyo Mwaselela amechangia shilingi laki tano Kwa ajili ya kuongeza mtaji na mahitaji kwa familia hiyo.</p>
<p>Beno Malisa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera amesema Dkt Tulia amefanya mambo mengi katika Jiji la Mbeya kama ujenzi wa madarasa,zahanati,bima kwa wazee,mitaji kwa wana wake,sare za shule ,mikopo ya pikipiki na Bajaj.</p>
<p>Chifu Roketi Mwanshinga ni mmoja wa watu waliohudhuria hafla hiyo huku akiwataka wananchi kushikamana kumuunga mkono Dkt Tulia kwa maendeleo ya Mbeya naye akichangia sukari Kwa familia.</p>
<p>Kwa upande wake Mwenyekiti wa mtaa wa ltanji Kata ya Iganjo Jaivah Washaha mbali ya kumshukuru Dkt Tulia kufanikisha ujenzi wa nyumba ya mwananchi wake naye ameunga mkono kwa kuingiza maji kwa mjane sanjari na kuchangia pango la nyumba ujenzi ulipokuwa unaendelea.</p>
<p>Akiongea huku akibubujikwa machozi Singwava Jackson amemshukuru Dkt Tulia kwa kuisitiri familia yake kwani alikuwa akiishi kwenye turubai kwa hofu hasa mvua zilipokuwa zikinyesha na pia hakuwa na mtaji.</p>
<p>Mbali ya kukabidhi nyumba Dkt Tulia amekabidhi pia fedha taslim zaidi ya shilingi milioni tatu na laki sita ili kumsaidia kuongeza mtaji na mahitaji ya shule kwa watoto pia mahitaji ya ndani.</p>
<p>Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini ambaye pia ni Mkurugenzi wa Tulia Trust Mhe. Dkt. Tulia Ackson amekabidhi nyumba Kwa Singwava Jackson mkazi wa mtaa wa ltanji Kata ya Iganjo Jijini Mbeya mjane mwenye watoto sita baada ya kuishi kwenye nyumba ya maturubai Kwa zaidi ya miaka minne.</p>
<p>Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi,Seikali,Viongozi wa Dini,viongozi wa Mila na wananchi ambapo Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Beno Malisa amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera.</p>
<p>Katika hotuba yake Dkt Tulia amewashukuru wananchi Kwa namba walivyoguswa kuungana na taasisi yake kuhakikisha mama hiyo anaishi vizuri yeye na familia yake.</p>
<p>Aidha Dkt Tulia amewataka wananchi na watu wenye unafuu wa maisha kuwagusa watu wenye uhitaji kila mmoja Kwa namna alivyojaliwa badala ya kubeza wale wanaotoa misaada kwenye jamii.</p>
<p>Awali Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya Patrick Mwalunenge amempongeza Dkt Tulia Kwa kuwagusa watu wenye uhitaji kwani hiyo ni sadaka mbele za Mungu.</p>
<p>Ametoa wito kwa wana CCM kuwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 mgombea Urais ni Dkt Samia Suluhu Hassan na Ubunge wa Mbeya mjini ni Dkt Tulia Ackson kwani kazi walizozifanya zinaonekana kwa macho.</p>
<p>Mwalunenge amechangia shilingi laki tano ili ziweze kumsaidia mjane huyo na familia yake pamoja na mahitaji ya shule kwa watoto.</p>
<p>Naye Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa(<br />
NEC)Ndele Mwaselela amesema yeyote anayetaka kugombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini aanze kutoa misaada sasa na ajipime kama anatosha nafasi hiyo.</p>
<p>“Mimi siyo mnafiki na siogopi kusema ukweli na kwamba tutaimarisha ulinzi Kwa Dkt Tulia”alisema Mwaselela.</p>
<p>Hata hivyo Mwaselela amechangia shilingi laki tano Kwa ajili ya kuongeza mtaji na mahitaji kwa familia hiyo.</p>
<p>Beno Malisa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera amesema Dkt Tulia amefanya mambo mengi katika Jiji la Mbeya kama ujenzi wa madarasa,zahanati,bima kwa wazee,mitaji kwa wana wake,sare za shule ,mikopo ya pikipiki na Bajaj.</p>
<p>Naye Sheikh Ibrahim Bombo kwa niaba ya Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ayasi Njalambaha amesema Dkt Tulia amekuwa akitoa misaada bila kujali itikadi za kidini na kisiasa.</p>
<p>Chifu Roketi Mwanshinga ni mmoja wa watu waliohudhuria hafla hiyo huku akiwataka wananchi kushikamana kumuunga mkono Dkt Tulia kwa maendeleo ya Mbeya naye akichangia sukari Kwa familia.</p>
<p>Kwa upande wake Mwenyekiti wa mtaa wa ltanji Kata ya Iganjo Jaivah Washaha mbali ya kumshukuru Dkt Tulia kufanikisha ujenzi wa nyumba ya mwananchi wake naye ameunga mkono kwa kuingiza maji kwa mjane sanjari na kuchangia pango la nyumba ujenzi ulipokuwa unaendelea.</p>
<p>Mbali ya kukabidhi nyumba Dkt Tulia amekabidhi pia fedha taslim zaidi ya shilingi milioni tatu na laki sita ili kumsaidia kuongeza mtaji na mahitaji ya shule kwa watoto pia mahitaji ya ndani.</p>
<p>Wadau mbalimbali wameipamba hafla hiyo wakiwemo wafanyabiashara na makada wa chama ambao walitoa vyakula,godolo,jiko la gesi,nguo na samani hali iliyoleta tabasamu kwa mama huyo.</p>
<p>Akiongea huku akibubujikwa machozi Singwava Jackson amemshukuru Dkt Tulia kwa kuisitiri familia yake kwani alikuwa akiishi kwenye turubai kwa hofu hasa mvua zilipokuwa zikinyesha na pia hakuwa na mtaji.</p>
<p><a href="https://mbeyayetu.co.tz/index.php/2024/04/10/dkt-tulia-akabidhi-nyumba-kwa-mjane/">soma zaidi</a></p>
<figure class="wp-block-gallery has-nested-images columns-default is-cropped wp-block-gallery-2 is-layout-flex wp-block-gallery-is-layout-flex"></figure>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/spika-dkt-tulia-amjengea-nyumba-mjane-amkabidhi/">SPIKA DKT. TULIA AMJENGEA NYUMBA MJANE AMKABIDHI</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/spika-dkt-tulia-amjengea-nyumba-mjane-amkabidhi/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
		<item>
		<title>MNEC MWASELELA: MBEYA TUMEJENGA UZIO KUMLINDA DKT. TULIA</title>
		<link>https://tuliatrust.org/mnec-mwaselela-mbeya-tumejenga-uzio-kumlinda-dkt-tulia/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/mnec-mwaselela-mbeya-tumejenga-uzio-kumlinda-dkt-tulia/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Thu, 11 Apr 2024 10:18:17 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8160</guid>

					<description><![CDATA[<p>Mwaselela amesema hayo Aprili 8, mwaka huu wakati akitoa salamu kwenye Iftar iliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust chini ya Mkurugenzi wake mbaye ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge Dkt.Tulia Ackson jijini hapa.</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/mnec-mwaselela-mbeya-tumejenga-uzio-kumlinda-dkt-tulia/">MNEC MWASELELA: MBEYA TUMEJENGA UZIO KUMLINDA DKT. TULIA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<p>Na Esther Macha , Timesmajira Online ,Mbeya</p>
<p>MJUMBE Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Mkoa wa Mbeya , Ndele Mwaselela amesema chama hicho kimetengeneza uzio kuhakikisha Dkt.Tulia Ackson anapata kura za kishindo katika uchaguzi Mkuu 2025.</p>
<p>Amesema hawatoruhusi watu kuchukua fomu ya kuwania nafasi wala kupenyeza kuingia kwenye kinyang’nyiro ifikapo 2025 kwani tayari wameweka uzio katika nyanja mbalimbali.</p>
<p>Mwaselela amesema hayo Aprili 8, mwaka huu wakati akitoa salamu kwenye Iftar iliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust chini ya Mkurugenzi wake mbaye ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge Dkt.Tulia Ackson jijini hapa .</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Aidha Mwaselela amewataka wananchi na waumini mbalimbali waliohudhuria Iftar hiyo kuwaelimisha watu wenye vichwa vigumu mazuri yaliyofanywa na Dkt.Tulia na yanayoendelea kufanywa ili wote waweze kwenda pamoja 2025.</p>
<p>Hata hivyo Mnec huyo amewaomba viongozi wa dini mkoani Mbeya kuendelea kumuombea Dkt.Tulia kutokana na kuubeba Mkoa ili mambo mengine yaendelee kuwa mazuri zaidi.</p>
<p>Mgeni rasmi katika Iftar hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Juma Homera amesema kuwa utendaji kazi na kujitoa kusaidia wenye uhitaji kwa Dkt. Tulia ni darasa na chuo tosha kwa viongozi wengine katika kuhakikisha wanajikita kuwahudumia wanadamu kwa moyo wa upendo .</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>“Amegusa sekta zote ikiwemo elimu,afya,maji ,nishati, miundombinu uimarishaji wananchi kiuchumi na uhusiano katika jamii tunapozungumzia kama mnavyoona hapa tumekutana dini zote tunapata Iftar,”amesema Homera.</p>
<p>Sambamba na hilo pia Dkt.Tulia ametoa vifaa vya shule kwa kata 36 kwa wanafunzi wenye uhitaji ndani ya Mkoa wa Mbeya kwa wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari,sare kwa wanafunzi wenye uhitaji zaidi ya 3000 kwa shule za msingi .</p>
<p>Shekhe wa Mkoa wa Mbeya, Msafiri Njalambaha amesema kuwa wamekuwa wakiona viongozi wengine wakiandaa futari lakini mwasisi ni Dkt.Tulia kwani amekuwa anafanya kwa ajili na sio masuala ya kisiasa.</p>
<p>Amesema yapo mambo mbalimbali ambayo ameyafanya ikiwepo ujenzi wa misikiti katika Wilaya ya Rungwe, Kiwira ,Msikiti na Uyole sambamba na kutoa vifaa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Bakwata.</p>
<p>“Mambo tofauti yanapotokea anakuwa wa kwanza kufika tulishuhudia watu walipopata matatizo aliwajengea nyumba nilisema haya anayofanya Dkt.Tulia sio kwamba anafanya sababu ni mwanasiasa bali anafanya sababu Mwenyezi Mungu amemumwekea kitu ndani ya moyo wake ,nasema huyu ni kiongozi ambaye lazima twende nae sambasamba,”amesema Shekhe Njalambaha.</p>
<p><a href="https://timesmajira.co.tz/mnec-mwaselelambeya-tumejenga-uzio-kumlinda-dkt-tulia/">soma zaidi</a></p>
<figure class="wp-block-gallery has-nested-images columns-default is-cropped wp-block-gallery-2 is-layout-flex wp-block-gallery-is-layout-flex"></figure>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/mnec-mwaselela-mbeya-tumejenga-uzio-kumlinda-dkt-tulia/">MNEC MWASELELA: MBEYA TUMEJENGA UZIO KUMLINDA DKT. TULIA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/mnec-mwaselela-mbeya-tumejenga-uzio-kumlinda-dkt-tulia/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
		<item>
		<title>VIONGOZI MBEYA WASEMA DKT. TULIA HAFANYI SIASA ANATEKELEZA ANDIKO LA MUNGU KUGUSA WAHITAJI</title>
		<link>https://tuliatrust.org/viongozi-mbeya-wasema-dkt-tulia-hafanyi-siasa-anatekeleza-andiko-la-mungu-kugusa-wahitaji/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/viongozi-mbeya-wasema-dkt-tulia-hafanyi-siasa-anatekeleza-andiko-la-mungu-kugusa-wahitaji/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Thu, 11 Apr 2024 10:11:51 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8157</guid>

					<description><![CDATA[<p>Sheikh Njalambaha amesema usiku wa jana Aprili 8 mwaka huu wakati wa waumini wa dini ya kiislam, viongozi wa Chama, Serikali na Machifu mkoani hapa walipoungana kula aftari iliyoandaliwa, Dkt. Tulia Ackson kupitia Taasisi yake ya Tulia Trust.</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/viongozi-mbeya-wasema-dkt-tulia-hafanyi-siasa-anatekeleza-andiko-la-mungu-kugusa-wahitaji/">VIONGOZI MBEYA WASEMA DKT. TULIA HAFANYI SIASA ANATEKELEZA ANDIKO LA MUNGU KUGUSA WAHITAJI</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<p>Sheikh wa Mkoa wa Mkoa Mbeya, Msafiri Njalambaha amesema kitendo anachokifanya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani na Spika wa Bunge Dkt. Tulia kuigusa jamii ni sadaka na kutekeleza maagizo ya Mungu visihusishwe na masuala ya kisiasa.</p>
<p>Sheikh Njalambaha amesema usiku wa jana Aprili 8 mwaka huu wakati wa waumini wa dini ya kiislam, viongozi wa Chama, Serikali na Machifu mkoani hapa walipoungana kula aftari iliyoandaliwa, Dkt. Tulia Ackson kupitia Taasisi yake ya Tulia Trust.</p>
<p>Amesema Dkt. Tulia amekuwa msaada mkubwa kwa dini ya kiislam kwani licha ya kuwafutulisha pia amekuwa akichangia ujenzi wa misikiti, jamii yenye mahitaji.</p>
<p>“Tunaona mchango wake mkubwa, sio sasa  ni zaidi ya miaka mitatu anatoa futari kwa waumini wenye hali duni na hivi karibuni tumepokea mchele kilo 400 tende katoni 20 hii ni sadaka isihusishwe na masuala ya kisiasa” amesema.</p>
<p>Naye Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) Mkoa wa Mbeya, Ndele  Mwaselela amesema CCM imetulia na Dkt. Tulia na kwamba watamlinda na kuhakikisha uchaguzi Mkuu 2025 anapitia kwa kishindo.</p>
<p>Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amemtaja Dkt. Tulia ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya mjini kuwa ni kiongozi wa kuigwa na mfano amekuwa chachu ya kuleta maendeleo katika Jimbo la Mbeya na Mkoa kwa ujumla.</p>
<p>“Tunayaona anayofanya ameweza kujenga nyumba saba kwa wahitaji, kutoa sare za shule kwa watoto 3,000 kujenga misikiti na hata jitihada zake kuleta miradi mikubwa ikiwoeo barabaraa njia nne na stendi kubwa ya kisasa ya mabasi ya Mikoa, kama CCM tutamlindaa hao wengine waachane na siasa wakafanye biashara&#8221;.</p>
<p>Mwenyeki wa CCM, Mkoa Patrick Mwalunenge ameunga mkono kauli ya viongozi hao na kwamba watamlinda Dkt. Tulia Ackson kuendelea na  majukumu ya Bunge wao wanachama kazi jimboni.</p>
<p><a href="https://mbeyapresstv.blogspot.com/2024/04/viongozi-mbeya-wasema-dkt-tulia-hafanyi.html">soma zaidi</a></p>
<figure class="wp-block-gallery has-nested-images columns-default is-cropped wp-block-gallery-2 is-layout-flex wp-block-gallery-is-layout-flex"></figure>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/viongozi-mbeya-wasema-dkt-tulia-hafanyi-siasa-anatekeleza-andiko-la-mungu-kugusa-wahitaji/">VIONGOZI MBEYA WASEMA DKT. TULIA HAFANYI SIASA ANATEKELEZA ANDIKO LA MUNGU KUGUSA WAHITAJI</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/viongozi-mbeya-wasema-dkt-tulia-hafanyi-siasa-anatekeleza-andiko-la-mungu-kugusa-wahitaji/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
		<item>
		<title>DKT. TULIA KUMSAIDIA MATIBABU MZEE MWENYE TATIZO LA KIDONDA MGUUNI</title>
		<link>https://tuliatrust.org/dkt-tulia-kumsaidia-matibabu-mzee-mwenye-tatizo-la-kidonda-mguuni/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/dkt-tulia-kumsaidia-matibabu-mzee-mwenye-tatizo-la-kidonda-mguuni/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Thu, 11 Apr 2024 10:08:17 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8154</guid>

					<description><![CDATA[<p>Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ametoa ahadi ya kumpatia matibabu ya mguu Mzee mwenye mahitaji  Mbaliki Shikunzi(80).</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/dkt-tulia-kumsaidia-matibabu-mzee-mwenye-tatizo-la-kidonda-mguuni/">DKT. TULIA KUMSAIDIA MATIBABU MZEE MWENYE TATIZO LA KIDONDA MGUUNI</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<p>Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ametoa ahadi ya kumpatia matibabu ya mguu Mzee mwenye mahitaji  Mbaliki Shikunzi(80).</p>
<p>Shikunzi ambaye ni Mkazi wa mtaa Isengo Kata ya Iziwa Jijini hapa ambaye amekuwa na changamoto ya tatizo la kidonda mguu na kuishi katika mazingira magumu na kukosa msaada ikiwepo chakula, makazi hararishi.</p>
<p>Akizungumza kwa niaba ya Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya mjini, Ofisa Habari na Mawasiliano Joshua Mwakanolo amesema Dkt. Tulia amehaidi kumsaidia mhitaji huyo matibabu katika Hosptali ya Rufaa Kanda sambamba na kumjengea nyumba.</p>
<p>Mwakanolo ametoaa kauli hiyo jana Jumapili Aprili 7 mwaka huu wakati ajitosa msaada wa mahitaji ikiwepo mchele, unga,sukari na sababu.</p>
<p>“Tumekabidhi  msaada wa chakula mchele kilo 20, unga wa ugali kilo 20, maharage kilo 10, sukari mifuko 3, sabuni miche 2, mafuta ya kupakaa sambamba na mavazi” amesema.</p>
<p>Shikungu anaishi kwenye mazingira magumu yanayopelekea kukosa mahitaji hayo muhimu na kuishi kwenye nyumba chakavu ambayo inaweza kuhatarisha maisha yake.</p>
<p>Mkurugenzi wake, Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini DkT. Tulia Ackson imeahidi kumjengea nyumba ya kuishi pamoja na  matibabu ya kidonda alichonacho mguuni katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya.</p>
<p>Kwa upande wake mhitaji huyo ameshukuru Taasisi ya Tulia Trust kwa mahitaji ikiwepo ahadi ya kumpatia matibabu na kumjengea makazi bora.</p>
<p><a href="https://mbeyapresstv.blogspot.com/2024/04/dkt-tulia-kumsaidia-matibabu-mzee.html">soma zaidi</a></p>
<figure class="wp-block-gallery has-nested-images columns-default is-cropped wp-block-gallery-2 is-layout-flex wp-block-gallery-is-layout-flex"></figure>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/dkt-tulia-kumsaidia-matibabu-mzee-mwenye-tatizo-la-kidonda-mguuni/">DKT. TULIA KUMSAIDIA MATIBABU MZEE MWENYE TATIZO LA KIDONDA MGUUNI</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/dkt-tulia-kumsaidia-matibabu-mzee-mwenye-tatizo-la-kidonda-mguuni/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
		<item>
		<title>SHEKHE NJALAMBAHA: DKT. TULIA NI ZAIDI YA MWANASIASA</title>
		<link>https://tuliatrust.org/shekhe-njalambaha-dkt-tulia-ni-zaidi-ya-mwanasiasa/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/shekhe-njalambaha-dkt-tulia-ni-zaidi-ya-mwanasiasa/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Thu, 11 Apr 2024 10:03:32 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8151</guid>

					<description><![CDATA[<p>SHEKHE wa Mkoa wa Mbeya,Msafiri Njalambaha amesema kitendo kinachofanywa na Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini na Spika wa Bunge ,Dkt.Tulia Ackson mbali na masuala ya kisiasa ni ibada kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwani amekuwa akijitolea kusaidia watu wenye uhitaji.</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/shekhe-njalambaha-dkt-tulia-ni-zaidi-ya-mwanasiasa/">SHEKHE NJALAMBAHA: DKT. TULIA NI ZAIDI YA MWANASIASA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<p>Na Esther Macha, TimesmajiraOnline,Mbeya</p>
<p>SHEKHE wa Mkoa wa Mbeya,Msafiri Njalambaha amesema kitendo kinachofanywa na Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini na Spika wa Bunge ,Dkt.Tulia Ackson mbali na masuala ya kisiasa ni ibada kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwani amekuwa akijitolea kusaidia watu wenye uhitaji.</p>
<p>Shekhe Njalambaha amesema hayo leo,Aprili 4,2024 wakati akipokea kilo 400 za Mchele na Tende boksi 20 kutoka Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Mkurugenzi wake Dkt.Tulia ambapo makabidhiano hayo yamefanyika katika Msikiti wa mkoa uliopo eneo la Sokomatola Jijini hapa.</p>
<p>“Jambo hili ambalo linafanyika hapa la kupokea futari kwa niaba ya waislam wenye uhitaji kwa mkoa wa Mbeya toka kwa Dkt.Tulia kweli ni kitu ambacho kinaonyesha mtu anajitoa kwa ajili ya Mungu wake,tumsichukulie kiongozi kama mwanasiasa tu bali pia ni hisia na huruma ambayo kuna watu wenye uhitaji katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani jambo hili linatoa uhalisia wa Dkt.Tulia katika masuala ya kujisogeza kwa MUNGU wake ” amesema Shekhe Njalambaha.</p>
<p>Hata hivyo amesema kuwa watu wengine wanaweza kusema anafanya hayo kwa ajili ya siasa na kama ingekuwa nguvu ya soda mpaka Sasa ni zaidi miaka mitatu wamekuwa wamekuwa wakipokea shehena kubwa mpaka tani tano ambayo imekuwa mwendelezo kila mwaka na kwamba hilo jambo limejikita katika moyo wake kuona namna gani anaishi vipi na binadamu wenzie na watu anaowaongoza ili aweze kuwasaidia.</p>
<p>Aidha Shekhe Njalambaha amesema anamuombea Dkt.Tulia kwa kuweka utamaduni mzuri wa kujiweka karibu na Mwenyezi MUNGU ukiachana na siasa pia aliwaasa viongozi wengine kuiga mfano wa Dkt.Tulia .</p>
<p>Kwa upande wake Imamu wa Msikiti wa Baraa Bin Azb Isanga,Shekhe Ibrahim Bombo amesema kuwa katika kuelekea uchanguzi wa serikali za mitaa ni muhimu kuwepo na utulivu na amani na kwamba ni kipindi ambacho kitahitajika Dua kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa.</p>
<p>“Kipindi ambacho tunaelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa huwezi kujua watu watakuwa na mihemko kiasi gani lakini kwa kumuomba mwenyezi MUNGU kuleta utulivu na amani kwa kipindi hicho kikifika ni jambo la msingi ili kuendelea kunehemeka na keki ya Taifa”amesema Shekhe Bombo.</p>
<p>Aidha amesema kuwa kwa Dkt.Tulia imekuwa desturi yake kutoa sadaka kwa ajili ya wahitaji katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani na desturi hiyo imekuwa endelevu .</p>
<p>Kwa upande wake Ofisa habari na mawasiliano na Taasisi ya Tulia Trust,Joshua Mwakanolo aliyemwakilisha Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust na Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini na Rais umoja wa mabunge amesema wametoa msaada wa mchele kilo 400 na Tende boksi 20 ambazo alikabidhi kwa Shekhe mkuu ili aweze kuwapatia waumini wanaoishi katika mazingira magumu .</p>
<p>“Nimesimama kwa niaba ya Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust na Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini ,Spika wa Bunge ambaye pia ni Rais wa umoja wa Mabunge duniani Dkt.Tulia Ackson ili niweze kukabidhi futari hii kwa waumini “amesema.</p>
<p>Hata hivyo baada ya shekhe Nyalambaha kupokea msaada huo walifanya dua ya kumwombea Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini Dkt.Tulia Ackson na Spika wa Bunge na Rais umoja wa mabunge duniani ili aweze kufanya kazi zake vizuri katika majukumu yake ya kila siku.</p>
<p><a href="https://timesmajira.co.tz/shekhe-njalambahadkt-tulia-ni-zaidi-ya-mwanasiasa/">soma zaidi</a></p>
<figure class="wp-block-gallery has-nested-images columns-default is-cropped wp-block-gallery-2 is-layout-flex wp-block-gallery-is-layout-flex"></figure>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/shekhe-njalambaha-dkt-tulia-ni-zaidi-ya-mwanasiasa/">SHEKHE NJALAMBAHA: DKT. TULIA NI ZAIDI YA MWANASIASA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/shekhe-njalambaha-dkt-tulia-ni-zaidi-ya-mwanasiasa/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
		<item>
		<title>TULIA TRUST YAKABIDHI KILO 400 ZA MCHELE MSIKITI MKUU WA MKOA WA MBEYA</title>
		<link>https://tuliatrust.org/tulia-trust-yakabidhi-kilo-400-za-mchele-msikiti-mkuu-wa-mkoa-wa-mbeya/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/tulia-trust-yakabidhi-kilo-400-za-mchele-msikiti-mkuu-wa-mkoa-wa-mbeya/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Thu, 11 Apr 2024 09:59:27 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8148</guid>

					<description><![CDATA[<p>Taasisi ya Tulia Trust imetoka kilo 400 za mchele na tende boksi 20 katika Msikiti Mkuu wa Mkoa wa  Mbeya kwa ajili ya waumini wenye mahitaji katika kuelekea sikuu ya Eid El Fitri.</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/tulia-trust-yakabidhi-kilo-400-za-mchele-msikiti-mkuu-wa-mkoa-wa-mbeya/">TULIA TRUST YAKABIDHI KILO 400 ZA MCHELE MSIKITI MKUU WA MKOA WA MBEYA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<p>Taasisi ya Tulia Trust imetoka kilo 400 za mchele na tende boksi 20 katika Msikiti Mkuu wa Mkoa wa  Mbeya kwa ajili ya waumini wenye mahitaji katika kuelekea sikuu ya Eid El Fitri.</p>
<p>Ofisa habari na mawasilino wa Taasisi ya Tulia Trust Joshua Mwakanolo amekabidhi mahitaji hayo kwa Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Msafiri Njalambaha katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya msikiti wa Mkoa barabara ya Saba jijini hapa.</p>
<p>Akizungumza kwa niaba ya Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Dkt. Tulia Ackson, Mwakanolo amesema lengo ni kuona wahitaji wanasherekea sikuu ya Eid El Fitri kama jamii nyingine.</p>
<p>&#8220;Nimesimama kwa niaba ya Mkurugenzi wa nimekabidhi mchele kilo 400 na tende boksi 20 kikubwa ni kuona wenzetu wanasherekea kwa furaha kama jamii nyingine” amesema.</p>
<p>Kwa upande wake Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Msafiri Njalambaha  amesema kitendo kinachofanywa na Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson mbali na masuala ya kisiasa amekuwa akijitolea  kusaidia watu wenye uhitaji kama  ibada kipindi cha mwezi mtukufu .</p>
<p>“Nimepokea futari kwa niaba ya waislamu ni kitu kinaonyesha mtu anajitoa kwa ajili ya Mungu wake watu wasimchukulue  kama anafanya kwa masuala ya kiasiasa” amesema</p>
<p>Naye Imani  msikiti wa Baraa Bin Azb Isanga,Shekhe Ibrahim Bombo wataendelea kumuombea Dkt. Tulia kwani amekuwa kiungo kikubwa katika kuisaidia jamii.</p>
<p><a href="https://mbeyapresstv.blogspot.com/2024/04/tulia-trust-yakabidhi-kilo-400-za.html">soma zaidi</a></p>
<figure class="wp-block-gallery has-nested-images columns-default is-cropped wp-block-gallery-2 is-layout-flex wp-block-gallery-is-layout-flex"></figure>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/tulia-trust-yakabidhi-kilo-400-za-mchele-msikiti-mkuu-wa-mkoa-wa-mbeya/">TULIA TRUST YAKABIDHI KILO 400 ZA MCHELE MSIKITI MKUU WA MKOA WA MBEYA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/tulia-trust-yakabidhi-kilo-400-za-mchele-msikiti-mkuu-wa-mkoa-wa-mbeya/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
		<item>
		<title>TULIA TRUST YATOA MSAAADA WA CHAKULA, MAVAZI KWA WAZEE WASIOJIWEZA</title>
		<link>https://tuliatrust.org/tulia-trust-yatoa-msaaada-wa-chakula-mavazi-kwa-wazee-wasiojiweza/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/tulia-trust-yatoa-msaaada-wa-chakula-mavazi-kwa-wazee-wasiojiweza/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Apr 2024 13:13:53 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8144</guid>

					<description><![CDATA[<p>Wazee wasiojiweza Jijini Mbeya wameanza kutabasamu baada ya  Taasisi ya Tulia Trust kuanza program  ya kugawa chakula na mavazi  bure.</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/tulia-trust-yatoa-msaaada-wa-chakula-mavazi-kwa-wazee-wasiojiweza/">TULIA TRUST YATOA MSAAADA WA CHAKULA, MAVAZI KWA WAZEE WASIOJIWEZA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<p>Wazee wasiojiweza Jijini Mbeya wameanza kutabasamu baada ya  Taasisi ya Tulia Trust kuanza program  ya kugawa chakula na mavazi  bure.</p>
<p>Programu hiyo imeanza leo katika baadhi ya Kata lengo ni kuhakikisha wahitaji wanafikiwa huku kikosi kazi cha Taasisi ya Tulia Trust kikiendesha zoezi hilo kulingana na idadi ya waliobainika.</p>
<p>Ofisa Habari na Mawasiliano wa Taasisi hiyo, Joshua Mwakanolo amesema lengo ni kuhakikisha wazee wasiojiweza wanatabasamu kwa kupata mahitaji muhimu.</p>
<p>“Mpango huu ni kutekeleza  maono ya Mkurugenzi wetu ambaye ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge, na Mbunge wa Jimbo la Mbeya, Dkt. Tulia Ackson” amesema.</p>
<p>Amesema bado wanaenda kuhakikisha jamii inatabasamu ikiwepo ujenzi wa makazi bora  kutoa viti mwendo  kwa watu wenye walemavu.</p>
<p>Mkazi wa Jijini Mbeya, Lazaro Juma ameishukuru Taasisi hiyo akiwepo Mkurugenzi wake Dkt. Tulia Ackson kwa kugusa wazee waliosahaulika katika jamii na kuonekana ni wasumbufu.</p>
<p>“Ni mtu wa kipekee sana kwa kipindi kifupi amegusa jamii ya wenye mahitaji wakiwepo watoto wenye mazingira magumu kupata sare za shule, madaftari na hata ujenzi wa makazi bora kwa wahitaji jambo ambalo lina thawabu kubwa mbele za Mungu” amesema.</p>
<p><a href="https://mbeyapresstv.blogspot.com/2024/04/tulia-trust-yatoa-msaaada-wa-chakula.html">soma zaidi</a></p>
<figure class="wp-block-gallery has-nested-images columns-default is-cropped wp-block-gallery-2 is-layout-flex wp-block-gallery-is-layout-flex"></figure>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/tulia-trust-yatoa-msaaada-wa-chakula-mavazi-kwa-wazee-wasiojiweza/">TULIA TRUST YATOA MSAAADA WA CHAKULA, MAVAZI KWA WAZEE WASIOJIWEZA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/tulia-trust-yatoa-msaaada-wa-chakula-mavazi-kwa-wazee-wasiojiweza/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
		<item>
		<title>WAUMINI WA KIISLAMU WAMUOMBEA DUA YA KHERI DKT.TULIA</title>
		<link>https://tuliatrust.org/waumini-wa-kiislamu-wamuombea-dua-ya-kheri-dkt-tulia/</link>
					<comments>https://tuliatrust.org/waumini-wa-kiislamu-wamuombea-dua-ya-kheri-dkt-tulia/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[amon]]></dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Apr 2024 12:06:25 +0000</pubDate>
				<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Non Private]]></category>
		<guid isPermaLink="false">https://tuliatrust.org/?p=8141</guid>

					<description><![CDATA[<p>WAUMINI wa dini ya Kiislamu wamemuombea dua ya kheri Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge ambaye pia Rais Umoja wa Mabunge Duniani ,Dkt.Tulia Ackson ili aweze kutekeleza majukumu yake vizuri katika kuhudumia jamii.</p>
<p>The post <a href="https://tuliatrust.org/waumini-wa-kiislamu-wamuombea-dua-ya-kheri-dkt-tulia/">WAUMINI WA KIISLAMU WAMUOMBEA DUA YA KHERI DKT.TULIA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<section class="wpb-content-wrapper"><div class="vc_row wpb_row vc_row-fluid"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371577868"><div class="wpb_wrapper">
	<div class="wpb_text_column wpb_content_element " >
		<div class="wpb_wrapper">
			<p>Na. Esther Macha, Timesmajira Online, Mbeya<br />
WAUMINI wa dini ya Kiislamu wamemuombea dua ya kheri Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge ambaye pia Rais Umoja wa Mabunge Duniani ,Dkt.Tulia Ackson ili aweze kutekeleza majukumu yake vizuri katika kuhudumia jamii.</p>
<p>Ambapo Abdalah Yundu Shekhe Mkuu wa Wilaya ya Mbeya ameongoza dua ya kumuombea Dkt Tulia Ackson katika kazi zake za kila siku.</p>
<p>Dua hiyo imefanyika Machi 29,2024 wakati Shekhe Ibrahim Bombo akipokea msaada wa vyombo vya kuhubiria msikitini kwa niaba ya Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kutoka Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Dkt.Tulia Ackson katika Msikiti wa Masjid Bi.Fatma iliyopo Nzovwe Jijini Mbeya.<br />
Shekhe Bombo amesema kuwa vyombo vilivyotolewa katika msikiti huo ni vema vikatunzwa kwa uangalifu ili viendelee kutumika katika kuendesha ibada.</p>
<p>Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya Dkt. Tulia Ackson Ofisa Habari na Mawasiliano wa Taasisi hiyo, Joshua Mwakanolo amesema lengo ni kutekeleza ombi la msikiti huo kwa Mbunge ambapo waliomba vipaza sauti kwa ajili ya ibada.</p>
<p>Mmoja wa waumini wa Msikiti huo , Hemed Kipengele amesema kitendo kilichofanywa na Dkt. Tulia ni ibada tosha katika kutoa vifaa hivyo kwani hajajali itikadi za kidini.</p>
<p>Kwa upande wake Justin Kayuni ambaye ni Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Ndanyela Kata ya Nzovwe ameipongeza Taasisi ya Tulia Trust kwa kutoa vifaa hivyo kwani vitasaidia kueneza neno la Mungu.</p>
<p>Katika kuhakikisha anafikia jamii bila kubagua Dkt.Tulia amekuwa akitoa misaada mbalimbali bila kujali itikadi za Kidini na kisiasa ambapo hivi karibuni amefanikisha ujenzi wa Misikiti ya Tukuyu Mjini,Kiwira Wilayani Rungwe na Uyole jijini Mbeya</p>
<p><a href="https://timesmajira.co.tz/waumini-wa-kiislamu-wamuombea-dua-la-kheri-dkt-tulia/">soma zaidi</a></p>
<figure class="wp-block-gallery has-nested-images columns-default is-cropped wp-block-gallery-2 is-layout-flex wp-block-gallery-is-layout-flex"></figure>

		</div>
	</div>
</div></div></div></div><div data-vc-full-width="true" data-vc-full-width-init="false" class="vc_row wpb_row vc_row-fluid vc_custom_1537371552022 vc_row-has-padding-top vc_row-has-padding-bottom"><div class="wpb_column vc_column_container vc_col-sm-12"><div class="vc_column-inner vc_custom_1537371538610"><div class="wpb_wrapper"></div></div></div></div><div class="vc_row-full-width vc_clearfix"></div>
</section><p>The post <a href="https://tuliatrust.org/waumini-wa-kiislamu-wamuombea-dua-ya-kheri-dkt-tulia/">WAUMINI WA KIISLAMU WAMUOMBEA DUA YA KHERI DKT.TULIA</a> appeared first on <a href="https://tuliatrust.org">Tulia Trust</a>.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://tuliatrust.org/waumini-wa-kiislamu-wamuombea-dua-ya-kheri-dkt-tulia/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
			</item>
	</channel>
</rss>
